Wednesday, August 7, 2013

KOFI OLOMIDE



KOFFI OLOMIDE MCHUMI ALIYEBOBEA KATIKA MUZIKI.


Ni watu wachache mno ambao wanaweza kuamini kuwa unaweza kumkuta msomi mwenye digrii mbili akiamua kupanda jukwaani na kunengua kama mwanamuziki, lakini hali hii ipo tofauti kwa mwanamuziki Koffi Olomide kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) pamoja na mafanikio aliyonayo kimuziki pia ni msomi aliyebobea katika maswala ya hisabati

Koffi Olomide alizaliwa siku ya  ijumaa Julai 13, 1956  katika mji wa Kisangani uliopo kaskazini  mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Olomide ana asili wa  nchi mbili za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Sierra Leone. Mama yake ni raia wa Congo akitokea katika kabila la Songye ambalo linapatikana katika mkoa wa kasai wakati baba yake ni mwenye asili ya Sierra Leone.

Kwa mujibu wa mila nautamaduni wa kabila la babu zake mama yake alimpa jina la ‘Koffi’ kutokana kuwa alizaliwa siku ya ijumaa alipokuwa bado ‘kinda’ koffi alipachikwa jina bandia la ‘Antoine Makila Mabe' likiwa na maana ya   'Damu mbaya ya  Antony'.

Antoine Koffi Olomide alikulia katika familia ya watu wenye uwezo wa kati na mahali ambapo elimu ilikuwa ikipewa kipaumbele

Olomide pamoja na kupenda muziki tangu akiwa mtoto, ndoto zake kubwa zilikuwa awe mchezaji wa mipra wa miguu.

Alipoanza kupevuka akiwa na umri wa miaka 18, wakati huo  akiwa mwanafunzi kijana, alivutiwa sana na usanii pamoja na muziki, ndipo alipoanza kutunga na kuimba nyimbo.

Kwa mujibu wa historia hiyo, Koffi alikuwa ana akili sana  darasani hali ambayo ilimfanya apate wadhamini wa kumlipia kwenda kusoma mjini Bordeaux, Ufaransa ambapo alipata Shahada yake ya kwanza ya Biashara na  Uchumi.
mbali na shahada hiyo inaeleza pia ana shahada ya pili katika masuala ya hisabati kutoka chuo kikuu cha paris

akiwa likizo Koffi alirekodi nyimbo za  'Asso' na 'Princesse ya Senza'  katika Studio za  Veve  huko  Kinshasha. Tokea hapo akashirkiana na wasanii wengine nguli akiwemo  Papa Wemba na  bendi ya Zaiko Langa Langa. Koffi  alitangazwa na kuzawadiwa  kama msanii bora wa Congo mwaka 1978
Akiwa Paris alianza kujifunza kupiga gitaa na kuandika nyimbo na aliporudi drc alijiunga na bendi ya muziki ya muziki ya viva la musica ambayo ilikuwa ikiongozwa na papa wemba, baada ya kujiunga na bendi hiyo Koffi aliimarisha mtindo wa polepole wa soukous uliokuwa umeisha umaarufu

aliuita mtindo huo Teha Tcho na ulipata umaarufu njee ya kongo, akiwa katika bendi hiyo mwanzo alikuwa ni mtunzi wa nyimbo, mwandishi na baadaye kama muimbaji, na hata baadaye aliamua kujitenga na kundi hilo na kuanza kuimba kama mwanamuziki wa peke yake na hadi mwaka 1986 alipounda bendi yake aliyoipa jina la Quartier latin mwaka wakati huo huo Olomide alikuwa akivutiwa sana kundi la wanamuziki wa  kassav. baada ya miaka  10 ya mafaniko yake, akatamani kuwa mwanamuziki wa kimataifa. ilichukua kipindi kirefu akisubiri kuwa mwanamuziki wa kimataifa hadi ilipofika mwaka 1988, wimbo wa 'henriquet' ukatokea kuwa mkali uliopelekea kupachikwa jina bandia la ‘Golden Star'.




Koffi olomide aliyafurahia mafanikio zaidi baada ya  kuandika wimbo akiwa na  binti yake pekee minou, ukiitwa D'elle et Moi', miaka ya 1990.
koffi toka mwaka 1990 hadi 1994, alifurahia kukua kwa mafaniko yake  ambayo kwa kipindi cha miaka chini ya minne, alifyatua zaidi ya album saba zikiwa chini ya jina lake na kundi lake la 'quartier latin'.
mwaka 1992 olomide alichaguliwa kuwa mwimbaji bora  wa kiume na  mshindi wa video bora katika shindano la african music awards mjini abidjan, ivory coast.
muziki wa koffi olomide unapendwa na mashabiki wengi afrika hata ulaya,  kufuatia tungo zake kuwa ni zenye ujumbe mzito kwa jamii. yaelezwa kwamba ujuzi wa aina yake, mpangilio mzuri wa muziki,  ukichangiwa na kuusomea muziki,  kumempa umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi yake ya jamhuri ya kidemokrasia ya congo(drc).
antoine koffi olomide  amefyatua  albam yake kali inayotamba hivi saaa ya abracadabra, iliyonguliwa na albam za  ngounda, efrakata, tcha tcho, haute de gamme – koweit na rive gauche.
katika kile kuonyesha umahiri wake katika muziki, koffi   alitoka na albam zingine nyingi za   pas de faux pas, live a bercy, attentant, le rambo du zaire, ultimutum, golden star na noblesse  oblige.
kama hizo hazitoshi,  msomi huyo aliwapagaisha wapenzi wake wa  muziki kwa kutoa albam zaidi za  v12,loimore, monde arabic, riziki, papa plus, zaiton na  phamacien. wimbo huo wa phamacien, sehemu kubwa ya uimbaji alitamba mwimbaji wake fally ipupa.
zingine zilikuwa  loi, Magie, Stila, Sexy pop, Rounge  A Levre, Etant Civil,  Round Poit, San suit, Respect 2,l Autre la, Miss Dess, Nolesse Oblige na  Escola. wimbo wa Escola alimshirikisha mwimbaji nguli papa wemba.
Mwaka 1998, Koffi akiwa katika jiji la Paris nchini Ufaransa, alikimbiwa na wanamuziki takribani wote, baada ya onesho kubwa lilofanyika katika ukumbi wa Olympia.
Bendi hiyo ilisambaratika na baadhi ya wanamuziki wake wakaenda kuunda bendi yao ya Orchestra ‘Quartier Latin Academia.
Faida ya kufanya muziki ukiwa msomi ilijionyesha kwa Koffi Olomide ambaye ni mithiri ya chuo. hakuteteleka kabisa baada ya tukio hilo kwani haikuchukuwa kipindi kirefu akaibua tena vijana wengine wenye  vipaji toka sehemu mbalimbali nchini humo. Olomide ana sifa kubwa ya kutokuchukuwa wanamuziki toka bendi kubwa.  yeye huibua vipaji vya vijana wadogo hadi wanafikia kuwa wanamuziki wa kukubalika.
Amewafundisha wanamuziki wengi chipukizi ambapo wengine wameamua kujitegemea na kusimama wenyewe katika kazi za muziki na wengine bado wapo na bendi hiyo hiyo

Baadhi ya wanamuziki ambao ameshawatoa ni Fele Mudogo, Motana Kamenga, ambaye alitimka kwenda kujiunga bendi ya big star ya general defao. Wengine ni pamoja na Bruno Mpela, Soleil Wanga, Sam Tshintu, Suzuki 4 by4, Ferre Gola  na Fally Ipupa. Ipupa hivi sasa ni kati  ya wanamuziki mwenye jina kubwa na kuheshimika duniani anakula ‘maisha’ murua nchini marekani, akiwa ubavuni mwa kundi la g unit na lile la mwanamuziki 50 cent.
Hata hivyo katika siku za hivi karibuni suzuki amekuwa akionekana mara kwa mara katika maonyesho ya quartier latin sambamba na mwanamuziki wa kike mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Cindy le Coeur

Koffi aliwahi kushiriki katika projekti ya muziki wa africando, pia aliwahi kushinda zawadi nne za kora huko afrika ya kusini. vilevile alikuwa msanii bora katika nchi za afrika ya kati mwaka 2002.
Olomide aliwahi kufika hapa nchini mwezi Desemba 2012 aambapo  alimwaga burudani kamambe zilizokonga nyoyo za watanzania walihudhuria onyesho lake lililofanyika katika viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini  Dar es salaam, Desemba 14, 2012. 
Koffi Olomide  ni baba wa familiya ya mke na watoto saba. 
Mungu mwingi wa rehma iwapo atamfikisha Julai 13, 2013   Koffi Antonie Olomide atatimiza miaka 57 ya kuzaliwa kwake.
 Mwisho.


ANTI - CHOC



BOZI BOZIANA BEGAN HIS CAREER IN THE AFRO-POP BAND AIR MARINE, BUT HE REACHED SUCCESS IN 1974 WHEN HE JOINED ZAIKO LANGA LANGA, ONE OF THE MOST INFLUENTIAL CONGOLESE BANDS EVER. IN ZAIKO BOZIANA HAD THE CHANCE TO PLAY WITH SOUKOUS STARS PAPA WEMBA AND EVOLOKO JOCKER. LESS THAN ONE YEAR LATER, PAPA WEMBA AND EVOLOKO LEFT ZAIKO LANGA LANGA AND BOZI BOZIANA FOLLOWED THEM IN A NEW BAND CALLED ISIFI LOKOLE. INTERNAL DISAGREEMENTS THEN CAUSED PAPA WEMBA, BOZIANA, MAVUELA SOMO AND OTHERS TO LEAVE ISIFI LOKOLE AND FOUND A NEW BAND THAT WAS CALLED YOKA LOKOLE. THIS GROUP WAS QUITE SUCCESSFUL IN 1976, BUT BY THE END OF THE YEAR PAPA WEMBA LEFT AGAIN TO FOUND VIVA LA MUSICA. YOKA LOKOLE LOST POPULARITY AND BOZIANA LEFT IN 1977. FOR A FEW MONTH BOZIANA WAS IN A DUO WITH EFONGE GINA, ANOTHER MEMBER OF ZAIKO LANGA LANGA, RECORDING A FEW HITS SUCH AS SELEMANI (CREDITED TO BOZIANA) AND LIBANKO YA NGAI (GINA). IN JUNE 1977, GINA LEFT ZAIKO LANGA LANGA FOR TOUT-GRAND LIBANKO AND BOZIANA TOOK HIS PLACE IN HIS FORMER BAND.
IN 1981 PRODUCER VERCKYS KIAMUANGANA FOUNDED A SOUKOUS SUPERGROUP CALLED LANGA LANGA STARS, WITH EVOLOKO JOCKER, DINDO YOGO AND OTHERS; BOZIANA WAS INVITED TO JOIN IN AND HE DID, LEAVING ZAIKO LANGA LANGA FOR THE SECONDO TIME. LANGA LANGA STARS LASTED ONLY A FEW YEARS, AND BOZIANA THEN MOVED TO ANOTHER MAJOR CONGOLESE BAND, BEN NYAMABO'S CHOC STARS, WHERE HE STAYED UNTIL NOVEMBRE 1985. WITH CHOC STARS BOZIANA RECORDED SOME OF HIS MOST FAMOUS SONGS EVER, SUCH AS SANDU KOTTI, ALENA, MBUTA-MUTU, AND RETROUVAILLES A PARIS.[2]
WITH CHOC STARS BOZIANA BECAME A TRUE CELEBRITY, AND SO HE FOUNDED HIS OWN BAND, CALLED ORCHESTRE ANTI-CHOC (OR SIMPLY "ANTI-CHOC"). THE NAME "ANTI-CHOC" WAS INTENDED TO EMPHASIZE THE BOZIANA'S HERITAGE FROM ZAIKO LANGA LANGA (AS THIS BAND WAS ALSO INFORMALLY KNOWN AS "TOUT-CHOC ANTI-CHOC ZAIKO LANGA LANGA").[1] BOZIANA'S ANTI-CHOC BECAME ONE OF THE MAJOR SOUKOUS BANDS IN CONGO, AND MANY TALENTED MUSICIANS PLAYED IN THE BAND OVER TIME; EXAMPLES ARE FIFI MOFUDE, DJO NOLO, KOFFI ALIBABA, WALLY NGONDA, RIGO STAR, NGOUMA LOKITO, DEESSE MUKANGI, MARTHE LAMUGENIA, NGIMBI YESPE AND MAOUSSI SOLANGE. THE FIRST GUITARIST OF THE BAND WAS MATOU SAMUEL, TODAY A GOSPEL SINGER; HE WAS LATER REPLACED BY DODOLY (PREVIOUSLY IN LITA BEMBO'S ORCHESTRE STUKAS), NICKNAMED "THE SEWING MACHINE" BECAUSE OF THE SPEED OF HIS FINGERS MOVING ON THE GUITAR'S FRETBOARD. DODOLY'S FRENETIC STYLE BECAME ONE OF THE TRADEMARKS OF ANTI-CHOC, AND WAS IMITATED BY ALL THE GUITARISTS THAT REPLACED DODOLY IN THE FOLLOWING YEARS.
FROM THE 1980S ON BOZIANA HAS CONTINUED ANTI-CHOC AS WELL AS RECORDED SOME SOLO WORKS AND OTHER COLLABORATIONS. IN 1998, HIS ALBUM BANA SAINT-GABRIEL (GUESTING OTHER FORMER ZAIKO LANGA LANGA MEMBERS, INCLUDING EVOLOKO JOCKER) HAS WON THE KORA ALL-AFRICAN AWARD FOR THE BEST ALBUM IN CENTRAL AFRICA.

EMPIRE BAKUBA



EMPIRE BAKUBA

EMPIRE BAKUBA IS AN INFLUENTIAL SOUKOUS BAND THAT FORMED IN ZAIRE (NOW DEMOCRATIC REPUBLIC OF THE CONGO) IN 1972. THE NAME OF THE BAND REFERS TO THE BAKUBA KINGDOM; IT IS SOMETIMES REPORTED AS EMPIRE BAKUBA DU GRAND KALLE, IN HONOR OF GRAND KALLE, THE "FATHER OF CONGOLESE MUSIC", WHO WAS ALSO BANDLEADER PEPE KALLE'S MENTOR. THE BAND HAS NEVER FORMALLY DISBANDED, ALTHOUGH ITS ACTIVITY HAS BEEN SCARCE SINCE PEPE KALLE'S DEATH (IN 1998).
CORE MEMBERS OF THE GROUP INCLUDE SINGERS PEPE KALLE, "PAPY TEX" MATOLU DODE AND DILU DILUMONA, GUITARISTS "BOEING 737" KINANGA NANZAO AND "DORIS" EBUYA LANGE AND THE DANCER "EMORO" TUMBA AYILA.[1]
EMPIRE BAKUBA WAS FOUNDED IN 1972 BY PEPE KALLE, PAPY TEX AND DILU DILUMONA, WHO WERE ALL AT THE TIME MEMBERS OF LIPUA LIPUA AND HAD PREVIOUSLY BEEN PART OF NEIGHBOURHOOD BAND AFRICAN CHOC.[1] THEY QUICKLY ESTABLISHED THEMSELVES AS ONE OF THE LEADING YOUTH BANDS OF KINSHASA, BECOMING A CONSTANT PRESENCE IN THE CONGOLESE CHARTS[2] AND A MAJOR PART OF THE SOUKOUS SCENE IN THE 1970S AND 1980S.
COMPARED TO THAT OF OTHER POPULAR SOUKOUS BANDS OF THE TIME, SUCH AS ZAIKO LANGA LANGA, EMPIRE BAKUBA'S SOUND WAS CHARACTERIZED BY THE STRONG INFLUENCE OF CONGOLESE TRADITIONAL AND TRIBAL MUSIC.[3] THIS ALSO REFLECTS IN THE KWASSA KWASSA, A DANCE STYLE THAT WAS POPULARIZED BY EMPIRE BAKUBA AND LATER ADOPTED BY SEVERAL OTHER CONGOLESE ACTS, MOST NOTABLY KANDA BONGO MAN AND KOFFI OLOMIDE. EMPIRE BAKUBA'S LIVE PERFORMANCES WERE HIGHLY SCENOGRAPHIC, WITH FRONTMAN PEPE KALLE, WHO WAS SIX FEET TALL AND WEIGHING 300 POUNDS,[3] ACCOMPANIED BY DWARF DANCER EMORO.
IN 1992 THE BAND HAD TO FACE EMORO'S SUDDEN DEATH. BY THIS TIME, THE APEX OF EMPIRE BAKUBA'S SUCCESS HAD PASSED, YET THE GROUP REMAINED QUITE POPULAR. EMORO WAS REPLACED BY THREE PYGMY DANCERS AND EMPIRE'S LIVE PERFORMANCES BECAME EVEN MORE SIMILAR TO CIRCUS SHOWS.[3] WHEN PEPE KALLE DIED IN 1998, AND HIS DEATH WAS FOLLOWED BY A SERIOUS CAR ACCIDENT INVOLVING PAPY TEX. FOR A WHILE, EMPIRE BAKUBA WAS CONSIDERED BY THE MEDIA TO HAVE CEASED TO EXIST. BY 1999, NEVERTHELESS, PAPY TEX HAD RECOVERED AND BECOME THE NEW LEADER OF THE BAND, WHICH RELEASED A FEW MORE ALBUMS. PAPY TEX IS STILL WITH EMPIRE BAKUBA, ALTHOUGH THE BAND HAS NOT BEEN VERY ACTIVE IN RECENT YEARS.[4]

PAPA WENDO



WENDO KOLOSOY (B. APRIL 25, 1925 - DIED JULY 28, 2008) "PAPA WENDO" WAS BORN IN MUSHIE IN THE NORTH WEST OF THE ACTUAL DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO. HE IS CLAIMED TO BE THE FATHER OF MODERN CONGOLESE MUSIC AND THE DANSE CALLED THE "RHUMBA KINOISE". HE WAS ALSO A BOXER.
EX COMMUNICATED BY BELGIAN PRIESTS FOR HIS SUBVERSIVE WRITING, HE KNEW SUCCESS, PRISON, SOLITUDE AND MISERY. NEVERTHELESS THE "MONUMENT" AS HE WAS CALLED BY HIS PARTISANS; HE NEVER STRAYED FROM HIS DESTINY, AS THE IMAGE OF THE RIVER WHICH CRISS CROSSES THE COUNTRY.
A SELF TAUGHT GUITAR PLAYER; HE WAS THE FIRST TO MIX TRADITIONAL RHYTHM (ZEBOLA), LATIN MUSIC (THE CUBAN RHUMBA) AND THE WEST INDIES (MARTINIQUE) AND GAVE IT THE NAME OF THE ZAIROISE RUMBA (OR CONGOLESE RUMBA).
WENDO KOLOSOY'S MUSIC IS A SUBTLE MIXTURE OF INGREDIANTS DRAWN FROM AFRICA, HIS VOICE FORMED BY YEARS OF EXERICISE IN THE CREATION OF HIS SPECIAL SOUND.
HISTORY HAS IT THAT, WHILST A CHILD, HE SAW A VISION OF HIS DEAD MOTHER AND WAS DRAWN INTO MUSIC AND FORMED HIS FIRST SCHOOL SOMETIME AFTER LEAVING SCHOOL AT THE AGE OF ELEVEN. DENOUNCED BY THE CATHOLIC CHURCH FOR THE FORCE OF ITS INFLUENCE AND ITS EMOTIONAL RITUAL EXCITEMENT, WENDO BROUGHT OUT A SONG CALLED MARIE LOUISE THAT SOLD SO WELL IN 1948 THAT IT BROKE ALL KNOWN SALES RECORDS. DESPITE BEING BANNED BY HIS OWN COUNTRY, THE SONG BECAME A PAN AFRICAN HIT.

Sunday, June 9, 2013

SHEREHE ZA GRADUATIO N YA TSJ 1991.



MR. KIYUNGI AKIPENA MIKONO NA WAZIRI WA HABARI DK. WILLIAM SHIJA KATIKA GRADUATION YA TSJ,1991 JIJINI DAR ES SALAAM..

PICHA ZA KUMBUKUMBU

 MZEE KIYUNGI AKIPATA MSOSI KATIKA SENDOFF YA DADAYE FATUMA KATANGA.
 WAHITIMU WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI(TSJ) WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAZIRI WA HABARI NA UTAMADUNI DR. WILLIAM SHIJAA(ALIYEKAA KATIKATI) MAENEO YA SHARRIU SHAMBA ILALA JIJJINI DAR ES SALAAM 1992.
 WAZAZI WANGU WALIPOKUWA VIJANA WAKIWA ISEVYA TABORA 1967.

 .
PICHA YA CHINI .KIYUNGI  AKIWA AMEPOZI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA HARARE..
                                          NIKIWA STUDIO YA BOMBA FM MBEYA
    MR. KIYUNGI AKIWA NA MWANAMUZIKI TOKA DRC GENERAL DEFAO  HUKO  LUBUMBASHI,JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO..
 MR. KIYUNGI AKIWA NA DEKULA KAHANGA 'VUMBI' MIKOCHENI DAR. 2012.
 MR. KIYUNGI AKIWA KATIKA STUDIO YA VOT FM STEREO MJINI TABORA 2013.
 MR. KIYUNGIAKIWA NA BABA WA TAIFA MWL. NYERERE KIJIJINI BUTIAMA.
 MR. KIYUNGI AKIWA KATIKA POZI ZA KAWAIDA JIJINI DAR ES SALAAM 1994.
 MR. KIYUNGI AKIWA MJENGONI  KWAKE YOMBO DOVYA. KULIA NI ALHAJ ADAM ISSA.


 MR. KIYUNGI AKIWA NA WAFANYAKAZI WA BODI YA MIKOPO MSASANI DAR. 2008.
                   MR. KIYUNGI AKIWA NDANI YA PIPA KWENDA MAJUU, 2007.
 BAADHI YA WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI (MAELEZO)WAKIWA NA FAMILIA ZAO JIJINI DAR.
 MR. KIYUNGI AKIWA KATIKA POZI ZA KAWAIDA JIJINI DAR ES SALAAM 2009.
MR. KIYUNGI AKIZUNGUMZA NA SALVA RWEYEMAMU 1988 JIJINI DAR ES SALAAM.