Friday, October 26, 2012

Waliokuwa wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari (TSJ) wakiwa katika Picha ya pamoja na Waziri wa Habari na Utamaduini Dk.William Shija(watatu kushoto). Wakati wa mahafari Chuoni hapo mwaka 1991 Jijini Dar es Salaam.Wengine toka kusoto ni mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Profesa Geofrey Mmari, Mbunge wa Bumbuli Charles Kagonji, Mkuu wa Chuo Samwilu Mwaffisi na Mmoja wa walimu wa chuo hicho Wallace Mauggo.

No comments: