Monday, October 3, 2011

BIRTH DAY YA KING DAVY


 MZEE KIYUNGI AKIWA NA KIJUKUU CHAKE  NJE  YA OFISI ZA BOMBA FM JIJINI MBEYA.
MZEE KIYUNGI AKICHAGUA MUNYU KATIKA SHEREHE YA FREDY HERBERT 
(MFALME DAUD)
Mzee Kiyungi akiwa katika sherehe ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa Bwana Frey Herbert "Mfalme Daud" kwenye viwanja vya ofisi  ya Bomba fm jijini Mbeya hivi karibuni.

No comments: